Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 14 August 2017

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Mhasibu Kiongozi London 2017


Baada ya kuhitimu Uhasibu na kufanya kazi kwa  bidii na nidhamu Mtanzania Joyce Materego aliteuliwa mmoja wa viongozi bora, London,  karibuni. 
Mahojiano yake na KSTL ,  yadokeza kifupi ilikuwaje




Mhasibu, mkalimani, mzazi, mpenzi wa sanaa na fasihi- mchapa kazi Joyce Materego. Kati ya Watanzania Ughaibuni wenye bidii. Anatueleza jinsi alivyozawadiwa kazini kwake kama mhasibu kiongozi sekta yake, London, 2017.


Kwa Simu Toka London- Na Freddy Macha

No comments: