Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Tuesday 21 June 2016

Hotuba ya Maalim Seif Shariff Hamad + maswali na majibu....Washington DC


Photo Credits: Swahilivilla Blog
June 18, 2016, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Maalim
Seif Sharif HamaD alifanya mkutano kuzungumza na waTanzania waishio nje
ya nchi kupitia wale waishio jijini Washington DC.

Hii ilikuwa sehemu ya shughuli zake alipokuwa katika ziara yake ya siku 14 nchini Marekani na Canada.

Ameeleza
mengi kuhusu uchaguzi wa Zanziba, kilichotokea, kilivyotokea na namna
wanavyotafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa, kikatiba na kisheria
uliopo nchini Zanzibar

Karibu umsikilize

Baada ta hapo, wahudhuriaji walipata nafasi ya kuuliza maswali
Karibu uwasikilize

No comments: